Artwork

المحتوى المقدم من UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. يتم تحميل جميع محتويات البودكاست بما في ذلك الحلقات والرسومات وأوصاف البودكاست وتقديمها مباشرة بواسطة UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations أو شريك منصة البودكاست الخاص بهم. إذا كنت تعتقد أن شخصًا ما يستخدم عملك المحمي بحقوق الطبع والنشر دون إذنك، فيمكنك اتباع العملية الموضحة هنا https://ar.player.fm/legal.
Player FM - تطبيق بودكاست
انتقل إلى وضع عدم الاتصال باستخدام تطبيق Player FM !

25 JUNI 2024

9:53
 
مشاركة
 

Manage episode 425651345 series 2027789
المحتوى المقدم من UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. يتم تحميل جميع محتويات البودكاست بما في ذلك الحلقات والرسومات وأوصاف البودكاست وتقديمها مباشرة بواسطة UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations أو شريك منصة البودكاست الخاص بهم. إذا كنت تعتقد أن شخصًا ما يستخدم عملك المحمي بحقوق الطبع والنشر دون إذنك، فيمكنك اتباع العملية الموضحة هنا https://ar.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kumulikaza juhudi za kuimarisha afya ya mifugo ili kuihakikishia jamii uhakika wa chakula na chakula salama. Pia tunakuletea muhutasari wa habari zikiwemo za Gaza, mabaharia, na ripoti ya ya matumizi ya pombe. Mashinani tunasalia na siku ya mabaharia duniani. Katika Ukanda wa Gaza huko Mashariki ya Kati tathmini mpya iliyofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula Duniani WFP imethibitisha wasiwasi wa kuendelea kuwepo kwa viwango vya njaa ambapo asilimia 96 ya wananchi wanakabiliwa na uhaba wa chakula.Leo ni siku ya mabaharia duniani ikibeba maudhui ya kuangalia usalama wao kazini. Katika ujumbe wake kwa siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka kukomeshwa kwa vitendo vya kiharamia vya meli kutekwa nyara na kueleza kuwa mabaharia hawapaswi kuwa waathiriwa wa migogoro ya kijiografia na kisiasa.Na ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO imeonesha vifo milioni 2.6 kwa mwaka vinachangiwa na unywaji pombe hii ikiwa ni sawa na asilimia 4.7 ya vifo vyote duniani, na vifo laki sita kwa matumizi ya dawa za kulevya.Mashinani leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya mabaharia, na kupitia ujumbe wake wa siku hii Katibu Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya baharí, IMO Arsenio Dominguez anawatakia kila la heri mabaharia wote akiwaalika katika meza ya kubonga bongo kuhusu masuala ya usalama wa baharini.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

100 حلقات

Artwork
iconمشاركة
 
Manage episode 425651345 series 2027789
المحتوى المقدم من UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. يتم تحميل جميع محتويات البودكاست بما في ذلك الحلقات والرسومات وأوصاف البودكاست وتقديمها مباشرة بواسطة UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations أو شريك منصة البودكاست الخاص بهم. إذا كنت تعتقد أن شخصًا ما يستخدم عملك المحمي بحقوق الطبع والنشر دون إذنك، فيمكنك اتباع العملية الموضحة هنا https://ar.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kumulikaza juhudi za kuimarisha afya ya mifugo ili kuihakikishia jamii uhakika wa chakula na chakula salama. Pia tunakuletea muhutasari wa habari zikiwemo za Gaza, mabaharia, na ripoti ya ya matumizi ya pombe. Mashinani tunasalia na siku ya mabaharia duniani. Katika Ukanda wa Gaza huko Mashariki ya Kati tathmini mpya iliyofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula Duniani WFP imethibitisha wasiwasi wa kuendelea kuwepo kwa viwango vya njaa ambapo asilimia 96 ya wananchi wanakabiliwa na uhaba wa chakula.Leo ni siku ya mabaharia duniani ikibeba maudhui ya kuangalia usalama wao kazini. Katika ujumbe wake kwa siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka kukomeshwa kwa vitendo vya kiharamia vya meli kutekwa nyara na kueleza kuwa mabaharia hawapaswi kuwa waathiriwa wa migogoro ya kijiografia na kisiasa.Na ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO imeonesha vifo milioni 2.6 kwa mwaka vinachangiwa na unywaji pombe hii ikiwa ni sawa na asilimia 4.7 ya vifo vyote duniani, na vifo laki sita kwa matumizi ya dawa za kulevya.Mashinani leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya mabaharia, na kupitia ujumbe wake wa siku hii Katibu Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya baharí, IMO Arsenio Dominguez anawatakia kila la heri mabaharia wote akiwaalika katika meza ya kubonga bongo kuhusu masuala ya usalama wa baharini.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

100 حلقات

כל הפרקים

×
 
Loading …

مرحبًا بك في مشغل أف ام!

يقوم برنامج مشغل أف أم بمسح الويب للحصول على بودكاست عالية الجودة لتستمتع بها الآن. إنه أفضل تطبيق بودكاست ويعمل على أجهزة اندرويد والأيفون والويب. قم بالتسجيل لمزامنة الاشتراكات عبر الأجهزة.

 

دليل مرجعي سريع