Rais Samia ateuliwa na cham chake kuwania urais mwaka 2025
Manage episode 462512380 series 1091037
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.
24 حلقات